Home » Search

Search Results

Featured, Habari, Headline »

[2 Sep 2010 | No Comment | 53 views]
Hawa Ndio Mashujaa Waliolifikisha KwanzaJamii Kwa Wanajamii Wa Njombe!

Nduguzanguni,
Bila shaka baadhi yenu mmefikiwa na habari za jarida la ‘Kwanza Jamii’ kurudi tena kwa wanajamii wa Njombe.
Nachukua fursa hii kuwashukuru wote waliojitolea kuchangia kazi zao za kiuandishi katika jarida

Featured, Habari, Headline »

[2 Sep 2010 | No Comment | 39 views]
Kwanza Jamii Limerudi Kwa WanaJamii Njombe!

Hatimaye Jarida la Kwanza Jamii limerudi kwa wanajamii. Hii inatokana na Jumuiya isiyo ya Kiserikali

Featured, Habari, Headline »

[2 Dec 2009 | No Comment | 230 views]
Stadi Za Maisha;Jinsi ya Kuongea Mbele ya Watu

Na Jeff Msangi
MAKALA yangu ya leo inatokana na barua pepe niliyotumiwa na msomaji wangu mmoja ambaye aliandika na kuuliza “Bro Jeff…nifanyeje ili niwe mzungumzaji mzuri mbele za watu kama vile Obama?”. Bila shaka kama tulivyo wengi wetu, msomaji huyu ni mpenzi wa Rais wa Marekani, Barack Hussein Obama.

Featured, Habari, Headline »

[30 Nov 2009 | No Comment | 198 views]
Stadi za maisha: Jinsi ya kupangilia muda wako vizuri

Na Jeff Msangi,
Bila shaka umeshawahi kusikia msemo wa wenzetu wa magharibi usemao “Time is Money”. Yawezekana kwamba msemo huo,kwa tafsiri ya moja kwa moja, unamaanisha kwamba muda ni pesa. Lakini ninavyoelewa mimi msemo huo unaongelea au unajaribu tu kuonyesha jinsi gani muda ni kitu cha thamani! Jinsi unavyoutumia muda wako hivi leo ni ishara tosha ya jinsi kesho yako itakavyokuwa.

Featured, Headline, makala »

[23 Jun 2009 | 2 Comments | 424 views]
Jinsi ya kuongea mbele ya hadhara!

Na Jeff Msangi
KAMA wewe sio mpenzi au msomaji wa makala zangu kila wiki, sio ajabu kwamba leo unanisoma kwa sababu umevutiwa na kichwa cha habari hapo juu! Unapenda kuongea mbele ya watu au ungependa kuwa muongeaji bora zaidi linapokuja suala la kuongea mbele za watu wengi ila umekuwa ukishikwa na uoga au mchecheto kila mara ulipojaribu kufanya hivyo.

Featured, Habari, Headline »

[10 Jun 2009 | No Comment | 320 views]
Jeff Msangi:Jinsi Ya Kuamsha Na Kulinda Ari

Jinsi ya kuamsha na kulinda ari ya kutimiza malengo yako
Na Jeff Msangi,
Kila mtu ana malengo. Tunachotofautiana ni jinsi tunavyofafanua malengo yetu na mbinu tunazozitumia ili kutimiza malengo yetu. Iwe ni kumaliza madeni uliyonayo, kuwekeza pesa kwa ajili ya kuchukua likizo ndefu,utajiri,familia bora,ndoa nzuri iliyojaa furaha,watoto wenye heshima na adabu, kufanya mazoezi ili kuwa na afya njema zaidi nk yote ni malengo ambayo binadamu hujiwekea mara kwa mara katika safari ya maisha. Wengine hufanikiwa na wengine hushindwa.

Featured, Headline, makala »

[2 Jun 2009 | 2 Comments | 741 views]
JINSI YA KUSHINDA USAILI(INTERVIEW) YA KAZI

Na Jeff Msangi
NATUMAINI  hujambo na unaendelea na mapambano ya maisha kwa ujasiri,bila woga wala dalili za kukata tamaa.Hivyo ndivyo inavyotakiwa.Kumbuka, kwamba penye nia pana njia.

Featured, Habari, Headline »

[26 May 2009 | No Comment | 240 views]
Kwa nini Sifanikiwi Vya Kutosha?

Na Jeff Msangi
TAMAA ya mafanikio katika maisha ni safari ndefu. Kwa wengi wetu ni safari ya kudumu. Kila mara tunataka zaidi. Tunataka kuwa kama fulani au fulani.

Featured, Headline, makala »

[19 May 2009 | No Comment | 355 views]
NATAKA KUWA MJASIRIAMALI; NIMJUE NANI?

UJASIRIAMALI ndio neno jipya. Kila mtu anaongelea habari za ujasiriamali. Pengine hii inatokana na wengi wetu kutambua kwamba nyakati zimebadilika na ujasiriamali ndio njia iliyo sahihi zaidi kama mtu anatamani mafanikio ya kweli maishani.

Featured, Habari, Headline »

[12 May 2009 | No Comment | 337 views]
KONA YA JEFF MSANGI

Jinsi ya kupangalia na kutumia muda wako vizuri
Na Jeff Msangi
BILA shaka umeshasikia msemo wa wenzetu wa magharibi usemao “Time is Money”. Yawezekana kwamba msemo huo,kwa tafsiri ya moja kwa moja, unamaanisha kwamba muda ni pesa.