<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><!-- generator="WordPress/2.7.1" -->
<rss version="0.92">
<channel>
	<title></title>
	<link>http://www.kwanzajamii.com</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Mon, 06 Sep 2010 06:24:27 +0000</lastBuildDate>
	<docs>http://backend.userland.com/rss092</docs>
	<language>en</language>
	
	<item>
		<title>Mrisho Mpoto: Watanzania Tunakufa Kwa Roho Chafu!</title>
		<description>JUZI hapa nilipata bahati ya kusafiri na Mrisho Mpoto. Safari yetu ilianzia Iringa kwenda Njombe. Tulikuwa na saa tatu pamoja kujadili masuala juu ya jamii yetu.

Mpoto ni mmoja wa wasanii mahiri na maarufu sana nchini kwa sasa. Na kwangu mimi, Mpoto ni mwanafalsafa anayeifikia jamii pana kwa tungo zake zenye ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2824</link>
			</item>
	<item>
		<title>Hotuba Yangu Kwenye Uzinduzi Wa Kwanza Jamii, Njombe</title>
		<description>" Njombe Mpooo?"x2
Jibu: " Tupoo!" x2

Ndugu Mgeni wa Heshima,
Ndugu Wageni waalikwa,
Mabibi na Mabwana.

Nina furaha kubwa kupata bahati ya kushiriki tukio hili kubwa la uzinduzi wa jarida la Kwanza Jamii hapa Njombe. Nasema hivyo kwa vile ingawa mimi ni mwalimu kitaaluma, nami nimekuwa mwandishi wa makala za uchambuzi kwa miaka 20 ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2818</link>
			</item>
	<item>
		<title>Hawa Ndio Mashujaa Waliolifikisha KwanzaJamii Kwa Wanajamii Wa Njombe!</title>
		<description>Nduguzanguni,

Bila shaka baadhi yenu mmefikiwa na habari za jarida la 'Kwanza Jamii' kurudi tena kwa wanajamii wa Njombe.

Nachukua fursa hii kuwashukuru wote waliojitolea kuchangia kazi zao za kiuandishi katika jarida la Kwanza Jamii tangu lilipotoka kwa mara ya kwanza. Mchango wao ndio uliopelekea Kwanza Jamii kufahamika kwa haraka na kupendwa ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2814</link>
			</item>
	<item>
		<title>Kwanza Jamii Limerudi Kwa WanaJamii Njombe!</title>
		<description>Hatimaye Jarida la Kwanza Jamii limerudi kwa wanajamii. Hii inatokana na Jumuiya isiyo ya Kiserikali ya Daraja yenye makao yake Mkoa mpya wa Njombe kuchukua jukumu la kugharamia uendeshaji wa jarida hilo na kuwa kiungo kati ya wanajamii na halmashauri ya wilaya Njombe. Hii ina maana , kuwa jumuiya ya ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2808</link>
			</item>
	<item>
		<title>Mrisho Mpoto Nyumbani Kwa &#8216; Mwenyekiti&#8217;</title>
		<description>Ijumaa ya juma la jana nilimkaribisha mdogo wangu Mrisho Mpoto nyumbani ninakoishi hapa Iringa. Mrisho na mimi tulikuwa na safari moja ya kwenda Njombe. Safari iliyoanzia nyumbani kwangu. Akiwa kwangu alinikuta sijafunga vya kwenda navyo. Wakati Mrisho na msanii mwenzake Ismael wakipata chai na juice mwanangu aliwatumbuiza kwa 'gitaa la ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2804</link>
			</item>
	<item>
		<title>Waumini Wamlalamikia Askofu Jimbo La Rulenge</title>
		<description>Asante mwenyekiti kwa kazi nzuri uifanyayo hasa kutuelimisha kwa njia ya Blog, nasema hongera sana mkuu! Hivi karibuni nilikuwa ngara mkoani kagera kufanya utafiti kwenye masuala yangu ya shule, lakini nilikutana na malalamiko pamoja na simanzi za wakazi wa Rulenge-ngara ambao wanadai kuwa Askofu wao amehamisha makao makuu ya jimbo ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2800</link>
			</item>
	<item>
		<title>Bi Mkora: Kinachochangia Mwenzako Asijishughulishe Kitandani</title>
		<description>Pole mdau kwa yanayokukuta,

Kuna vitu vingi vinaweza kuchangia hayo kama walivyokueleza wadau waliotangulia kutokana na uzoefu wao ambao nitawaita masomo. Kungwi Bi Mkora ana

1. Mko kwenye uhusiano wa namna gani? Mke na mume, au bibi na bwana au wa kirafiki? Aina ya uhusiano mlionao mara nyingi huchangia katika namna ambavyo ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2796</link>
			</item>
	<item>
		<title>Mdau Ubelgiji: &#8221; Mjengwa, Ngoja Nikukosoe!&#8221;</title>
		<description>Habari yako mjengwa.
Nachukua nafasi hii kukupongeza,kwa kutupatia habari za mara kwa mara, lakini Mjengwa ngoja nikukosoe mambo fulani fulani,mfano kuweka picha bila maelezo?,ni kweli kua ujumbe unatakiwa kutolewa kwa picha ,lakini ktk Blog kama hii,huna haja ya kuweka picha bila maelezo.
La pili ni kukuhusu wewe,mwenyewe,sio lazima kutoa taarifa kua hapa ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2791</link>
			</item>
	<item>
		<title>Swali Kwa Bi Mkora: &#8221; Mwenzangu Hajishughulishi Kitandani, Nifanyeje?&#8221;</title>
		<description>NAFURAHI SANA WAJUMBE WATOAVYO MAWAZO HUSUSANI YA KUWEKA NDOA YENYE FURAHA NA UPENDO.
SUALA SI KUMWANDAA MWANAMKE PEKEE ILA KUANDAANA WOTE KABLA YA KUFANYA MAPENZI.
KWA UPANDE WANGU NAOMBA NISAIDIENI:
NIKIKIWA NAMWANDAA MKE WANGU HUSUSANI KWA KUCHEZA CHEZA KITANDANI, KUSHIKANA SHIKANA UTAKUTA MKE WANGU YUPO KIMYA TU NA YEYE HAJISHUGHULISHI KWA CHOCHOTE KABISA, ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2786</link>
			</item>
	<item>
		<title>Kuwahukumu Maharamia Wa Kisomali  Isiwe Jukumu La Nchi Za Pwani Ya Bahari Ya Hindi Tu</title>
		<description>NA MWANDISHI MAALUM

NEW YORK-Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa  limetakiwa kutoziachia  mzigo mzito  nchi ambazo zimejitolea utekeleza kwa niaba ya jumuia ya Kimataifa, jukumu la  kuwapokea,  kuwahukumu na kuwafunga maharamia na majangili ya kisomali yanayoendesha uhalifu wao katika pwani ya Somalia na maeneo ...</description>
		<link>http://www.kwanzajamii.com/?p=2782</link>
			</item>
</channel>
</rss>
