Home » Archive

Articles in the Habari Category

Featured, Habari, Headline »

[9 Sep 2010 | No Comment | 67 views]
TTCL: ” Maggid, Umeuleza Umma Habari Zisizo Za Uhakika”

Magid, nilisoma makala yako kwenye raia Mwema na kati ya vitu ulivyozungumzia ni ahadi za mtandao na kushuka kwa bei baada ya mkongo kuwasili. Nikuhakikishie kuwa bei zimeshuka mno kwa viwango vilivyokisiwa. Kwenye TTCL Broadband Mwaka jana kipindi kama hiki 500MB ilikuwa ikiuzwa shilingi 30,000. Sasa

Featured, Habari, Headline »

[9 Sep 2010 | No Comment | 11 views]
KwanzaJamii This Month: Their Voices

Their Voices
Stewart Ng’ande, Chairman of Uhenga Village
“Here in Uhenga we our major activities are planting corn and peanuts. Also, we
herd animals. Coming from our area it is very dry, we need water for

Featured, Habari, Headline »

[9 Sep 2010 | 2 Comments | 73 views]
Neno La Leo: Njau, Kalumekenge Na Ushahidi Wenye Utata!

Na Maggid Mjengwa,
KUNA kisa cha hakimu aliyepata tabu sana katika kuthibitisha ukweli wa urefu wa mtuhumiwa wa wizi. Mashahidi walikuwa wawili; Njau na Kalumekenge.
Wote wawili, Njau na Kalumekenge, walimwona mtuhumiwa

Featured, Habari, Headline »

[7 Sep 2010 | No Comment | 71 views]
Kwako Mheshimiwa Rais

Kwako Mh Rais
Napenda nikusalimu katika jina lililo sadifu na wingi wake uhadidu liitwalo Tanzania,
Niandikapo mahali hapa kwanza kabisa najisikia fahari sana na

Featured, Habari, Headline »

[6 Sep 2010 | No Comment | 86 views]
Neno La Leo: Nchi Ya Wanaopigana  Vinyundo Na Kurushiana  Vijembe!

SIKU hizi imekuwa ni ‘ burudani’ kusoma magazeti, kusikiliza redio na hata kutazama televisheni. Maana kuna habari ambazo ni ‘ vituko’ vya uchaguzi haswa. Ni vioja. Na kila kukicha

Featured, Habari, Headline »

[5 Sep 2010 | 3 Comments | 247 views]
Mrisho Mpoto: Watanzania Tunakufa Kwa Roho Chafu!

JUZI hapa nilipata bahati ya kusafiri na Mrisho Mpoto. Safari yetu ilianzia Iringa kwenda Njombe. Tulikuwa na saa tatu pamoja kujadili masuala juu ya jamii yetu.
Mpoto ni mmoja wa wasanii mahiri na

Featured, Habari, Headline »

[2 Sep 2010 | 3 Comments | 187 views]
Hotuba Yangu Kwenye Uzinduzi Wa Kwanza Jamii, Njombe

” Njombe Mpooo?”x2
Jibu: ” Tupoo!” x2
Ndugu Mgeni wa Heshima,
Ndugu Wageni waalikwa,
Mabibi na Mabwana.
Nina furaha kubwa kupata bahati ya kushiriki tukio hili kubwa la uzinduzi wa jarida la Kwanza

Featured, Habari, Headline »

[2 Sep 2010 | 3 Comments | 112 views]
Hawa Ndio Mashujaa Waliolifikisha KwanzaJamii Kwa Wanajamii Wa Njombe!

Nduguzanguni,
Bila shaka baadhi yenu mmefikiwa na habari za jarida la ‘Kwanza Jamii’ kurudi tena kwa wanajamii wa Njombe.
Nachukua fursa hii kuwashukuru wote waliojitolea kuchangia kazi zao za kiuandishi katika jarida

Featured, Habari, Headline »

[2 Sep 2010 | No Comment | 55 views]
Kwanza Jamii Limerudi Kwa WanaJamii Njombe!

Hatimaye Jarida la Kwanza Jamii limerudi kwa wanajamii. Hii inatokana na Jumuiya isiyo ya Kiserikali

Featured, Habari, Headline »

[2 Sep 2010 | No Comment | 92 views]
Mrisho Mpoto Nyumbani Kwa ‘ Mwenyekiti’

Ijumaa ya juma la jana nilimkaribisha mdogo wangu Mrisho Mpoto nyumbani ninakoishi hapa Iringa. Mrisho