Home » Archive

Articles in the makala Category

Habari, Headline, makala »

[7 Dec 2009 | One Comment | 924 views]
Mfanyeje Ili Wote Mridhike Kitandani?

Mfanyeje Ili Wote Mridhike Kitandani?
Mfululizo wa mada hizi elimishi zihusuzo mahusiano imepelekea kujitokeza kwa wachangiaji nje. Kuna wanaoacha maoni yao ndani ya mada husika, lakini kuna wanaochangia kwa njia za barua pepe. Hapa kuna mwanamke anayekuja na mchango ufuatao kutokana na uzoefu wake kwa kuuliza na kujibu pia; Mfanyeje ili wote mridhike kitandani?

Featured, Headline, makala »

[13 Oct 2009 | One Comment | 440 views]
Adui Wa Tano Ni Kutokujiamini

Na Andrew Mushi
KWA muda mrefu sasa nimekuwa nikijiliuliza na hata pia kufanya utafiti ni kwanini Waafrika tuko nyuma kimaendeleo nikilinganisha na watu wa mabara mengine.

Featured, Headline, makala »

[13 Oct 2009 | No Comment | 316 views]
Hata tumbili Hung’amuka

Na Maggid Mjengwa,
WATANZANIA tunaadhimisha miaka kumi ya Kumbukumbu ya Kifo cha Mwalimu Nyerere.
Hakika, kumbukumbu ya Mwalimu ya kila mwaka imekuwa tukio muhimu sana kwetu Watanzania.

Featured, Headline, makala »

[13 Oct 2009 | No Comment | 272 views]
Tuukatae Mgawo Wa Umeme!

Na Padri Privatus Karugendo,
SHIRIKA la Umeme Tanzania TANESCO, limetangaza mgawo wa umeme nchi nzima.

Featured, Headline, makala »

[13 Oct 2009 | No Comment | 346 views]
Sauti Ya Nyerere Yaibukia Marekani!

Na Profesa Charles Bwenge
MOJAWAPO ya vitu ambavyo Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (JKN) aliviweka wazi kwa njia ya matamshi na ya maandishi alipotangaza Azimio la Arusha mwaka 1967, ilikuwa ni kwamba ‘ubepari ni unyama’.

Featured, Headline, makala »

[13 Oct 2009 | No Comment | 224 views]
Hakuna Hewa Safi Duniani

-Na Freddy Macha
Tangu lini Mwafrika akawa na jina la ajabu ajabu vile…
“Hiyo Yum Yum umeitoa’ api?”
Akacheka. Akacheka tena; akacheka hadi ute ukamtoka na ushuzi wa jam.

Featured, Headline, makala »

[13 Oct 2009 | No Comment | 239 views]
Chimbuko la Samba ya Brazil

Pele amechangia kuipandisha Samba kileleni
- Shah wa Iran alimsubiri uwanja wa ndege kwa saa tatu apate fursa ya kupiga picha nae
- Vita ya Biafra ilisimama ili watu waone mechi ya Brazil
Na Maggid Mjengwa,
JUMA la jana tulianza kuona asili na chimbuko la ‘ Samba’, staili ya mchezo wa soka iliyojipatia umaarufu mkubwa duniani.

Habari, Headline, makala »

[10 Aug 2009 | 3 Comments | 450 views]

Featured, Headline, makala »

[5 Aug 2009 | No Comment | 434 views]
Je, Tunaweza Tukawa Na Mrembo Wa Tanzania?”

Profesa Joseph L. Mbele
KWA wiki kadhaa nimewazia kuandika makala kuhusu mashindano ya urembo. Katika Tanzania ya leo, mashindano hayo yameshamiri katika miji mikubwa na yanazidi kuenea.

Featured, Headline, makala »

[5 Aug 2009 | One Comment | 602 views]
JK Anahitaji  Mawaziri 15 Tu

Na Born Again Pagan
INGAWA tunasikia na kuamini kuwa Amerika ni nchi ya demokrasia, wananchi wengi sio wanachama wa vyama vya siasa! Wakati wa chaguzi kuu, wapigakura hujishikiza kwa vyama hivi kwa kuchagua maslahi ya u-binafsi, ki-itikadi.