[25 Nov 2011 | Comments Off | 172 views]
Maazimio Ya Kikao Cha NEC Ya CCM

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi iliyokutana kwa siku mbili kuanzia tarehe 23-24 Novemba, 2011 mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mambo mengine imeazimia yafuatayo:
UNUNUZI WA MAHINDI
     I.         Halmashauri Kuu ya Taifa imeipongeza Serikali kwa kuwa na mkakati wa kutafuta fedha haraka kwa kuamua kuuza mahindi tani 80,000 kwa UNFP na nchini Kenya ili kwanza, kulipa madeni ya wakulima, na pili, kununua mahindi ya wakulima yaliyopo majumbani na kwenye vituo vya ununuzi kabla ya upandaji wa msimu …

Read the full story »

Featured, Habari, Headline »

[25 Nov 2011 | Comments Off | 172 views]
Maazimio Ya Kikao Cha NEC Ya CCM

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi iliyokutana kwa siku mbili kuanzia tarehe 23-24 Novemba, 2011 mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mambo mengine imeazimia yafuatayo:
UNUNUZI WA MAHINDI
     I.         Halmashauri Kuu ya Taifa imeipongeza Serikali kwa kuwa na mkakati wa kutafuta fedha haraka kwa kuamua kuuza mahindi tani 80,000 kwa UNFP na nchini Kenya ili kwanza, kulipa madeni ya wakulima, na pili, kununua mahindi ya wakulima yaliyopo majumbani na kwenye vituo vya ununuzi kabla ya upandaji wa msimu …

Featured, Habari, Headline »

[20 Nov 2011 | Comments Off | 125 views]
Mbinu Za Kujilinda (Personal Protection

Na Godwine Chilewa

Mojawapo ya haki na wajibu wa msingi kwa kila kiumbe ni kujilinda na maadui. Viumbe vyote vyenye uhai ikiwa ni pamoja na mimea, wadudu, wanyama na samaki hutumia mbinu mbalimbali kuwazuia viumbe wengine kuwafanya kitoweo, kuwadhuru watoto au mayai yao, au kuharibu mazingira wanayo ishi.
Binadamu tunao wajibu mkubwa zaidi wa kujilinda na wanyama, wadudu na viumbe vingine visivyo onekana vinavyoweza kutuletea madhara makubwa kama tusipokuwa makini . Hata hivyo, ukiacha bakteria na virusi vinavyo sababisha magonjwa mbalimbali, adui mwingine wa hatari zaidi kwa binadamu, ni binadamu mwenzie.
Hali ngumu …

Featured, Habari, Headline »

[19 Nov 2011 | Comments Off | 148 views]
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA  TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA
TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE,
KWA WANANCHI KUHUSU HALI YA UCHUMI NCHINI NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA, TAREHE 17 NOVEMBA, 2011

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,
Mstahiki Meya,
Viongozi wa Serikali,
Wazee wangu,
Ndugu Wananchi,

Nakushukuru Mkuu wa Mkoa na viongozi wenzako wa Jiji la Dar es Salaam kwa kuniandalia fursa hii ya kukutana na Wazee wa Dar es Salaam. Nawashukuru sana wazee wangu kwa kuitikia wito wangu huu wa kukutana nanyi. Nimefarijika sana kwa mahudhurio yenu makubwa pamoja na taarifa kuwa ya …

Featured, Habari, Headline »

[3 Nov 2011 | Comments Off | 135 views]
Wakurugenzi 16 Kuchukuliwa Hatua Za Kinidhamu –  Pinda

*Ni wa wilaya za Ludewa, Chamwino, Kondoa, Iringa na Shinyang
*Wamo pia wa Manispaa za Iringa, Lindi na Mji Kibaha
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri 16 nchini ambao wamekiuka makubaliano na mahakama ya kurejesha michango ya Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Ametoa kauli hiyo leo (Jumatano, Novemba 2, 2011) wakati akitoa

Featured, Habari, Headline »

[27 Oct 2011 | Comments Off | 155 views]
Mada Nyingine Iliyoleta Zogo Kijijini: ” Posta, Jamani Posta!”

Zogo hili limeanzishwa na mdau kutoka Ughaibuni. Fuatilia….
“Habari za mchana,mie nina kilio changu na posta makao makuu dar,sie tulioko ughaibuni tunatuma parcel nyumbani tena inakuwa zawadi ya birthday au harusi,cha ajabu mzigo wenyewe unalipiwa kodi hapa