TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi iliyokutana kwa siku mbili kuanzia tarehe 23-24 Novemba, 2011 mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mambo mengine imeazimia yafuatayo:
UNUNUZI WA MAHINDI
I. Halmashauri Kuu ya Taifa imeipongeza Serikali kwa kuwa na mkakati wa kutafuta fedha haraka kwa kuamua kuuza mahindi tani 80,000 kwa UNFP na nchini Kenya ili kwanza, kulipa madeni ya wakulima, na pili, kununua mahindi ya wakulima yaliyopo majumbani na kwenye vituo vya ununuzi kabla ya upandaji wa msimu …
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi iliyokutana kwa siku mbili kuanzia tarehe 23-24 Novemba, 2011 mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mambo mengine imeazimia yafuatayo:
UNUNUZI WA MAHINDI
I. Halmashauri Kuu ya Taifa imeipongeza Serikali kwa kuwa na mkakati wa kutafuta fedha haraka kwa kuamua kuuza mahindi tani 80,000 kwa UNFP na nchini Kenya ili kwanza, kulipa madeni ya wakulima, na pili, kununua mahindi ya wakulima yaliyopo majumbani na kwenye vituo vya ununuzi kabla ya upandaji wa msimu …
Na Godwine Chilewa
Mojawapo ya haki na wajibu wa msingi kwa kila kiumbe ni kujilinda na maadui. Viumbe vyote vyenye uhai ikiwa ni pamoja na mimea, wadudu, wanyama na samaki hutumia mbinu mbalimbali kuwazuia viumbe wengine kuwafanya kitoweo, kuwadhuru watoto au mayai yao, au kuharibu mazingira wanayo ishi.
Binadamu tunao wajibu mkubwa zaidi wa kujilinda na wanyama, wadudu na viumbe vingine visivyo onekana vinavyoweza kutuletea madhara makubwa kama tusipokuwa makini . Hata hivyo, ukiacha bakteria na virusi vinavyo sababisha magonjwa mbalimbali, adui mwingine wa hatari zaidi kwa binadamu, ni binadamu mwenzie.
Hali ngumu …
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA
TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE,
KWA WANANCHI KUHUSU HALI YA UCHUMI NCHINI NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA, TAREHE 17 NOVEMBA, 2011
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,
Mstahiki Meya,
Viongozi wa Serikali,
Wazee wangu,
Ndugu Wananchi,
Nakushukuru Mkuu wa Mkoa na viongozi wenzako wa Jiji la Dar es Salaam kwa kuniandalia fursa hii ya kukutana na Wazee wa Dar es Salaam. Nawashukuru sana wazee wangu kwa kuitikia wito wangu huu wa kukutana nanyi. Nimefarijika sana kwa mahudhurio yenu makubwa pamoja na taarifa kuwa ya …
*Ni wa wilaya za Ludewa, Chamwino, Kondoa, Iringa na Shinyang
*Wamo pia wa Manispaa za Iringa, Lindi na Mji Kibaha
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri 16 nchini ambao wamekiuka makubaliano na mahakama ya kurejesha michango ya Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Ametoa kauli hiyo leo (Jumatano, Novemba 2, 2011) wakati akitoa