[5 Mar 2010 | One Comment | 144 views]
Alikotokea Profesa Born Again Pagan na Wenzake:  Bwiru Sekondari (Wavulana) 1960-1963 (4)

Shukrani zangu za dhati kwa wasomaji wote wanaoniletea e-mails zao kuhusu hadithi hii inayoendelea.
Stori, kama hii niandikayo, inatufanya tukumbushane mada (themes) sawa lakini kwa miaka na michakato tofauti. Kuna wengi wapendao sana kujua ya mazingira, raha, taabu na mambo mengine yaliyotokea zamani. Kwa mfano, msomaji mmoja amenitaka nitoe maelezo binafsi ya marehemu mzazi wake aliyewahi naye kupita hapo Bwiru (Wavulana), endapo nilimfahamu,

Read the full story »

Featured, Habari, Headline »

[5 Mar 2010 | One Comment | 144 views]
Alikotokea Profesa Born Again Pagan na Wenzake:  Bwiru Sekondari (Wavulana) 1960-1963 (4)

Shukrani zangu za dhati kwa wasomaji wote wanaoniletea e-mails zao kuhusu hadithi hii inayoendelea.
Stori, kama hii niandikayo, inatufanya tukumbushane mada (themes) sawa lakini kwa miaka na michakato tofauti. Kuna wengi wapendao sana kujua ya mazingira, raha, taabu na mambo mengine yaliyotokea zamani. Kwa mfano, msomaji mmoja amenitaka nitoe maelezo binafsi ya marehemu mzazi wake aliyewahi naye kupita hapo Bwiru (Wavulana), endapo nilimfahamu,

Featured, Habari, Headline »

[2 Mar 2010 | No Comment | 15 views]
Hali Ya Wanawake Bado Ngumu-Migiro

Na Mwandishi Maalum
NEW YORK, -Ikiwa ni miaka kumi na tano sasa tangu kupitishwa kwa Tamko la Beijing kuhusu Hali ya Wanawake, imeleezwa kuwa pengo la usawa wa kijinsia kati ya mwanamke na mwanaume bado ni kubwa. Na kwamba hali hiyo ipo katika nchi zilizoendelea na zinazoendelea.

Featured, Habari, Headline »

[27 Feb 2010 | No Comment | 64 views]
‘CCM Bila Rushwa Hakuna Ushindi’

MREMA NAYE ATANGAZA RASMI KUMPIGIA KAMPENI KIKWETE 2010
MBUNGE wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ameponda maelekezo ya Rais Jakaya Kikwete kwa wanasiasa kuhusu rushwa kwenye chaguzi akieleza kuwa msimamo wake huo hautekelezeki kwa kuwa CCM bila rushwa, haiwezi kushinda.
Ndesamburo alisema hayo jana alipotakiwa na gazeti hili kutolea maoni kauli ya Rais Kikwete kuwa wanasiasa wanaokusudia kutoa, kuomba au kushawishi rushwa katika uchaguzi ujao, watakiona.

Featured, Habari, Headline »

[26 Feb 2010 | No Comment | 19 views]
Ban Ki Moon Amwombeleza Balozi Daudi Mwakawago

Na Mwandishi Maalum
Umoja wa Mataifa - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon amesema ,amepokea kwa huzuni kubwa taarifa za kufariki kwa aliyewahi kuwa Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, nchini Sierra Leone, Balozi Daudi Ngalautwa Mwakawago.

Featured, Habari, Headline »

[25 Feb 2010 | No Comment | 38 views]
Woga Wa Mgombea Binafsi Katika Uchaguzi Unatoka Wapi?

WIKI iliyopita nilijadili jinsi ambavyo chama tawala cha (CCM) kilivyowapora wananchi haki ya kujua hatima ya watuhumiwa wa kashfa ya Richmond kwa mtindo wa ‘funika kombe mwanaharamu apite’.
Watu wengi walinipigia simu na kushiriki katika mjadala huu wengi walionyesha masikitiko makubwa jinsi mjadala huo wa Richmond ulivyofungwa kibabe na Bunge na hata wengine kufikia mahali kuhoji uzalendo wa viongozi wetu.