Shukrani zangu za dhati kwa wasomaji wote wanaoniletea e-mails zao kuhusu hadithi hii inayoendelea.
Stori, kama hii niandikayo, inatufanya tukumbushane mada (themes) sawa lakini kwa miaka na michakato tofauti. Kuna wengi wapendao sana kujua ya mazingira, raha, taabu na mambo mengine yaliyotokea zamani. Kwa mfano, msomaji mmoja amenitaka nitoe maelezo binafsi ya marehemu mzazi wake aliyewahi naye kupita hapo Bwiru (Wavulana), endapo nilimfahamu,
Shukrani zangu za dhati kwa wasomaji wote wanaoniletea e-mails zao kuhusu hadithi hii inayoendelea.
Stori, kama hii niandikayo, inatufanya tukumbushane mada (themes) sawa lakini kwa miaka na michakato tofauti. Kuna wengi wapendao sana kujua ya mazingira, raha, taabu na mambo mengine yaliyotokea zamani. Kwa mfano, msomaji mmoja amenitaka nitoe maelezo binafsi ya marehemu mzazi wake aliyewahi naye kupita hapo Bwiru (Wavulana), endapo nilimfahamu,
MREMA NAYE ATANGAZA RASMI KUMPIGIA KAMPENI KIKWETE 2010
MBUNGE wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ameponda maelekezo ya Rais Jakaya Kikwete kwa wanasiasa kuhusu rushwa kwenye chaguzi akieleza kuwa msimamo wake huo hautekelezeki kwa kuwa CCM bila rushwa, haiwezi kushinda.
Ndesamburo alisema hayo jana alipotakiwa na gazeti hili kutolea maoni kauli ya Rais Kikwete kuwa wanasiasa wanaokusudia kutoa, kuomba au kushawishi rushwa katika uchaguzi ujao, watakiona.
WIKI iliyopita nilijadili jinsi ambavyo chama tawala cha (CCM) kilivyowapora wananchi haki ya kujua hatima ya watuhumiwa wa kashfa ya Richmond kwa mtindo wa ‘funika kombe mwanaharamu apite’.
Watu wengi walinipigia simu na kushiriki katika mjadala huu wengi walionyesha masikitiko makubwa jinsi mjadala huo wa Richmond ulivyofungwa kibabe na Bunge na hata wengine kufikia mahali kuhoji uzalendo wa viongozi wetu.