[2 Jan 2013 | Comments Off | 317 views]
JK asema Bunge la Katiba litakutana Novemba 2013

RAIS Jakaya Kikwete jana alitoa salamu zake za mwaka mpya kwa kuzungumzia mambo mbalimbali ya kitaifa, huku akibainisha kuwa Bunge la Katiba, litakaa Novemba mwaka huu kupitisha mapendekezo ya Katiba Mpya.
Katika hotuba yake hiyo, Rais Kikwete alisema Tume ya Mabadiliko ya Katiba imekamilisha hatua ya kwanza ya kukusanya maoni ya mtu mmojammoja nchi nzima na hatua inayofuata ni ya kukusanya maoni ya makundi maalumu.
“Kazi hiyo ya kukusanya maoni ya makundi maalumu, itaanza Januari 2013. Natoa wito kwa makundi hayo nayo kushiriki vizuri kwenye hatua hii muhimu. Baada ya hatua hiyo …

Read the full story »

Featured, Habari, Headline, Jamii, Siasa »

[2 Jan 2013 | Comments Off | 317 views]
JK asema Bunge la Katiba litakutana Novemba 2013

RAIS Jakaya Kikwete jana alitoa salamu zake za mwaka mpya kwa kuzungumzia mambo mbalimbali ya kitaifa, huku akibainisha kuwa Bunge la Katiba, litakaa Novemba mwaka huu kupitisha mapendekezo ya Katiba Mpya.
Katika hotuba yake hiyo, Rais Kikwete alisema Tume ya Mabadiliko ya Katiba imekamilisha hatua ya kwanza ya kukusanya maoni ya mtu mmojammoja nchi nzima na hatua inayofuata ni ya kukusanya maoni ya makundi maalumu.
“Kazi hiyo ya kukusanya maoni ya makundi maalumu, itaanza Januari 2013. Natoa wito kwa makundi hayo nayo kushiriki vizuri kwenye hatua hii muhimu. Baada ya hatua hiyo …

Featured, Habari, Headline, Jamii, Uchunguzi »

[2 Jan 2013 | Comments Off | 249 views]
Drug barons thrive in Zanzibar island

By Mwinyi Sadallah
30th December 2012
For tourists, Zanzibar offers the perfect destination for a blissful getaway, but to prominent leaders like Roman Catholic Bishop for Zanzibar Diocese Dr Augustine Shao, the India ocean archipelago is just a safe haven for drug trafficking barons.
As tourists get enticed by sandy beaches lined by turquoise-blue water, the historic charm of Stone Town and the rich culture of the island, so do the drugs traffickers who have taken advantage of the poor security at ports and airport to make Zanzibar their main conduit to both …

Featured, Habari, Halmashauri, Headline, Jamii »

[2 Jan 2013 | Comments Off | 178 views]
Delay in fund disbursement hits project implementation

By Correspondent
2nd January 2013
Members of the annual general meeting of the Local Government Authorities in Ruvuma Region have requested the Treasury to ensure that it provides funds for implementation of various projects on time because any delays tend to slow down people’s development.
The members made the request during the normal annual meeting held recently in Nyasa District, Ruvuma Region, which was opened by the District Commissioner, Ernest Kahindi, who challenged the members to make good supervision of development projects in their respective areas.
In his opening speech, Kahindi urged the leaders …

Featured, Habari, Headline, Jamii, Siasa »

[2 Jan 2013 | Comments Off | 214 views]
Chungu na tamu ya vigogo 2012

BAADHI ya vigogo wa kisiasa hawatasahau yaliyowapata mwaka jana kutokana na mabadiliko makubwa yaliyoigusa medani hiyo na kusababisha kuanguka ama kwa kura au kung’olewa katika nafasi walizokuwa wakizishikilia.
Wakati baadhi wakiugulia kwa machungu hayo, kwa upande mwingine lipo kundi la wale wanaosherehekea neema iliyowajia mwaka huohuo, baada ya nyota zao kung’ara kisiasa na kujikuta wakikwaa nafasi za uongozi, pengine ambazo hawakuzitarajia.
Miongoni mwa matukio yaliyowatikisa wanasiasa ni hatua ya Rais Jakaya Kikwete kupangua Baraza la Mawaziri, kutenguliwa kwa baadhi ya matokeo ya chaguzi za wabunge na uchaguzi wa ndani wa CCM ambao …

Featured, Habari, Headline, Jamii, Siasa, Uchunguzi »

[2 Jan 2013 | Comments Off | 272 views]
Urais 2015: Chadema sasa vipande viwili

Na Raymond Kaminyoge na Peter Saramba, Karatu
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumtangaza Dk Willibrod Slaa kuwa ndiye mgombea wa urais mwaka 2015 kwa tiketi ya chama hicho, makada wa chama hicho wamegawanyika baadhi wakimponda na wengine kumuunga mkono.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, baadhi ya makada wa chama hicho walisema mwenyekiti wao amekosea kumtangaza mgombea kabla ya wakati, huku wanaomuunga mkono wakisema hajakosea kwa sababu hatua hiyo itasaidia kuondoa makundi ndani ya chama hicho.
Juzi, Mbowe akihutubia mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Karatu mkoani Arusha, alisema Katibu Mkuu …