” Njombe Mpooo?”x2
Jibu: ” Tupoo!” x2
Ndugu Mgeni wa Heshima,
Ndugu Wageni waalikwa,
Mabibi na Mabwana.
Nina furaha kubwa kupata bahati ya kushiriki tukio hili kubwa la uzinduzi wa jarida la Kwanza
” Njombe Mpooo?”x2
Jibu: ” Tupoo!” x2
Ndugu Mgeni wa Heshima,
Ndugu Wageni waalikwa,
Mabibi na Mabwana.
Nina furaha kubwa kupata bahati ya kushiriki tukio hili kubwa la uzinduzi wa jarida la Kwanza
Nduguzanguni,
Bila shaka baadhi yenu mmefikiwa na habari za jarida la ‘Kwanza Jamii’ kurudi tena kwa wanajamii wa Njombe.
Nachukua fursa hii kuwashukuru wote waliojitolea kuchangia kazi zao za kiuandishi katika jarida