Ndugu zangu, tumesoma tamko la pamoja la wanaharakati wa Jukwaa La Katiba ( Bara) na Baraza la Katiba Zanzibar , angalia; http://www.mjengwablog.com/2012/05/wanaharakati-wakemea-vitisho-katiba.html#comment-form
Tamko lile linanikumbusha mjadala niliouanzisha Disemba mwaka jana kwa kuutolea kisa cha Mtema Kuni. Soma nilichoandika wakati huo na mjadala uliofuatia;
“Ndugu zangu,
Kwenye hili la mchakato wa kupata katiba mpya bado nasimama kwenye kauli yangu ya tangu mwezi Aprili mwaka huu, kuwa tumeanza na mguu mbaya lakini naamini kuwa bado tuna nafasi ya kujisahihisha.
Ndio, tukitanguliza hekima na busara tunaweza kuinusuru nchi yetu tuliyozaliwa kwa madhara ya …
Read the full story »Ndugu zangu, tumesoma tamko la pamoja la wanaharakati wa Jukwaa La Katiba ( Bara) na Baraza la Katiba Zanzibar , angalia; http://www.mjengwablog.com/2012/05/wanaharakati-wakemea-vitisho-katiba.html#comment-form
Tamko lile linanikumbusha mjadala niliouanzisha Disemba mwaka jana kwa kuutolea kisa cha Mtema Kuni. Soma nilichoandika wakati huo na mjadala uliofuatia;
“Ndugu zangu,
Kwenye hili la mchakato wa kupata katiba mpya bado nasimama kwenye kauli yangu ya tangu mwezi Aprili mwaka huu, kuwa tumeanza na mguu mbaya lakini naamini kuwa bado tuna nafasi ya kujisahihisha.
Ndio, tukitanguliza hekima na busara tunaweza kuinusuru nchi yetu tuliyozaliwa kwa madhara ya …
TAMKO DHIDI YA VITISHO, VIKWAZO NA VITENDO VYA VIONGOZI
VINAVYOTIA WANANCHI HOFU KATIKA KUSHIRIKI MCHAKATO WA KATIBA
MPYA TANZANIA
Jukwaa la Katiba Tanzania na Baraza la Katiba Zanzibar tumeendelea
kufuatilia maandalizi ya mchakato wa kuandika Katiba mpya ikiwa ni
pamoja na kuteuliwa na kuapishwa kwa Tume ya Katiba; Hotuba mbalimbali
za viongozi wa kitaifa kuhusiana na mchakato wa Katiba mpya pamoja na
mwitikio wa wananchi kwa ujumla.
Kwanza, tunawapongeza wote walioteuliwa kulitumikia taifa letu kama
wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania. Kwa maoni …
Na Maggid Mjengwa,
NIMEPATA kusimulia kisa cha kijana aliyehangaika sana kuusaka ukweli. Katika pitapita zake akaliona duka. Kibao kimeandikwa dukani; “Hapa tunauza ukweli”.
Dukani hapo ukweli unauzwa kwa kilo. Bei ya robo kilo ya ukweli imeandikwa, vivyo hivyo, bei ya nusu kilo ya ukweli. Lakini, mwenye duka hakuandika bei ya ukweli mzima, kwa maana ya kilo nzima ya ukweli.
Kijana yule akauliza; “Mie nataka ukweli kilo nzima, mbona hujaandika bei?”
“Alaa, unataka kilo nzima ya ukweli?” aliuliza mwenye duka. “Naam” Akajibu kijana yule.
“Basi, …
Orodha ya wabunge waliosaini:
2. Rashid Ali Abdallah – CUF
3. Chiku Aflah Abwao- Chadema
4. Saluim Ali Mbarouk – CUF
5. Salum Khalfam Barwany – CUF
6. Deo Haule Filikuchombe- CCM
7. Pauline Philipo Gekul- Chadema
8. Asaa Othman Hamad- CUF
9. Prof.Kuliyokela Kahigi- Chadema
10. Naomi Mwakyoma Kaihula – Chadema
11. Sylvester Kasulumbayi- Chadema
12. Raya …
Tume ya Katiba: Mtihani wa pili wa Kitaifa kwa Jaji Warioba
Na Maggid Mjengwa,
JAJI Mstaafu, Joseph Sinde Warioba, kwa mara ya pili katika historia ya nchi hii, amepewa na Rais aliye madarakani, Jakaya Mrisho Kikwete, heshima ya kutwishwa jukumu kubwa linaloweza, ama kubadili sura na mwelekeo wa taifa la Tanzania, au kuliacha taifa likiwa limenasa kwenye tope zito.
Ndio, Jaji Joseph Warioba amepewa jukumu zito la kuongoza Tume ya Kurekebisha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Itakumbukwa, baada ya nchi kuzama katika vitendo vya rushwa huku viongozi wakiongoza katika kutenda dhambi hiyo, …